Click on the slide!

Umoja wetu, Nguvu yetu,hakuna kitakachotuzuia.

Click on the slide!

Uchumi Imara,Demokrasia ya Kweli,Uhuru halisi,Haki Sawa na Maendeleao kwa wote vitazaa AMANI-Mwenyekiti wa CUF Prof.Ibrahim Lipumba

Click on the slide!

Moja ya Lengo ni kujenga serikali imara kwa wanchi wake Tanzania Bara na Zanzibar

Click on the slide!

Popote tutafika kupeleka Tumaini kwa Watanzania

Click on the slide!

Hakuna kundi litakaloachwa...wote Wetu.

Click on the slide!

Saisa za Kweli na Halisi siku zote tutasimami

Click on the slide!

Vita dhidi ya Dhuluma haitakoma

Click on the slide!

Tunasimamia katiba ya Nchi na ya Chama

Click on the slide!

Kwa pamoja Tutafika Salama

Click on the slide!

We want total freedom

Click on the slide!

Mtuungapo mkono ndiyo nguvu yetu.Tunawaongoza kwenye Tanzania iliyo Salama.

Click on the slide!

Siku zote tututaongoza wananchi kudai maslahi yao.

Click on the slide!

Nguvu ya umma na moyo wa kusonga mbele ya Wafuasi wa CUF katika moja mikutano  Kibandamaiti…

Frontpage Slideshow (version 2.0.0) - Copyright © 2006-2008 by JoomlaWorks
Mwanzo

Karibu Kwenye Tovuti ya CUF:HAKI SAWA KWA WOTE!

Flaf

Chama cha Wananchi au Civic United Front (CUF) ni chama cha kisiasa nchini Tanzania. CUF ni chama cha uliberali wa kidemokrasia ambacho kauli mbiu yake ni Haki Sawa kwa Wote na Sera yake Kuu ni Utajirisho. CUF inasimamia elimu bora, afya madhubuti, mfumo adilifu wa kodi, Muungano wa haki, siasa kuwa utumishi ulioutukuka kwa umma na fursa sawa katika kujiendeleza kiuchumi, kijamii na kisiasa.

 
Harufu ya Ufisadi wa waziri Muhongo kwenye mradi wa Gesi mtwara.CUF kuweka mambo hadharani.

article thumbnail

Muda si mrefu tutamlipua ipasavyo kwa sababu tuna ushahidi wa ufisadi na wizi mkubwa wa fedha ambao umeshaandaliwa kwa ajili ya kunufaisha watu wachache kupitia Mradi husika wa ujenzi wa mabomba ambap [ ... ]


JUVICUF waionya JUVICCM na BAVICHA kutotumikia matakwa ya Mafisadi wa vyama vyao.

article thumbnail

Jumuiya ya Vijana ya CUF-Chama Cha Wananchi (JUVICUF) inapenda kutoa mwito kwa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kufanya uchaguzi utakaozingatia matakwa ya vijana siyo ya watu Fulani. J [ ... ]


Habari Zaidi Zilizojiri
Facebook Twitter Youtube Google Bookmarks Linkedin

SASA SERA RASMI YA CUF:MGAO WA RASILIMALI

Katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Shariff Hamad ametangaza kuwa sasa Sera ya mapato ya  rasilimali ya taifa hasa madini kugwaiwa kwa wananchi itaingizwa kwenye sera za CUF na itatumiwa kwenye ilani ... Soma zaidi

Sakata la Gesi kutinga bunge lijalo.Mnyaa kuwasilisha petisheni

Kwa sababu hizo mimi Mnyaa nimeamua na kukubali kuwasilisha Maombi ya  Wananchi wa Mtwara (petition)katika Mkutano wa kumi wa Bunge letu la Jamhuri na nimepokea majina mengi na sahihi zao.Na kwa hivyo basi nitawasilisha maombi ... Soma zaidi

CUF:KUNAMGAO WA UMEME WA KIMYAKIMYA

Kwa muda mrefu sasa  kumekuwa na tatizo la kukatika kwa umeme maeneo mengi ya Tanzania na kumekuwa nakila dalili ya viashiria kwamba kunamgao wa umeme ambao Tanesco haitaki kuutangazia umma. Serikali ya CCM kupitia Waziri wake ... Soma zaidi

CUF YAFANYA MAMBO MAKUBWA MTWARA

· Wananchi 26,000 wajiandikisha kupinga gesi isiende DSM · Maduka,hoteli, baa vyafungwa kwa hiyari siku nzima ·   Katika hali inayoonesha kuzidiwa kete kwa serikali, suala la gesi iliyovumbuliwa eneo la Msimbati – MnaziBay limezidi kuchukua sura mpya baa... Soma zaidi

Gesi ya Mtwara inufaishe Mtwara kwanza

KIKAO CHA BARAZA KUU CUF-CHAMA CHA WANANCHI 17/12/2012-18/12/2012 UKUMBI WA SHABANI MLOO-MAKAO MAKUU CUF-BUGURUNI,DAR ES SAAM TAARIFA YA KWA UMMA Wajumbe waliohudhuria ni  50 kati ya 55 (wasiohudhuria:kwa udhuru) KATIBA MPYA NA HATMA YA MUUNGANO Mwanzo wa Nukuu wa haya Hotuba ... Soma zaidi

Tuweni Sauti Moja Maoni ya Katiba Mpya –Maalim Seif

Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wazanzibari waungane na kuwa na kauli moja wakati wa kutoa maoni juu ya katiba mpya ili kupata mfumo wa Muungano wanaoutaka.Maalim Seif amesema ... Soma zaidi

CUF siku zote itaongoza juhudi za wananchi zenye kuelekezwa katika kuiletea nchi yetu ukombozi wa kiuchumi. CUF itatilia maanani umuhimu wa rasilmali za nchi yetu kuwanufaisha wananchi wenyewe. Katika kufikia lengo hilo CUF itakuwa na uangalifu mkubwa katika kuwashirikisha wageni wenye uwezo wa fedha na teknolojia.

Wimbo wa Taifa wa CUF unasema hivi: 
“Ni haki sawa kwa watu wote, kuendeleza taifa letu Utajirisho itikadi yetu, tukatae kuonewa. Siasa itumikie, uchumi wa Nchi yetu Ni mwiko huo uchumi, kutumikia siasa”


Mwenyekiti wa CUF

Prof. Ibrahim Haruna Lipumba

Katibu Mkuu wa CUF

Maalim Seif Sharif Hamad